Kiswahili Gredi ya 8

Authors
Mutahi Miricho, David Maina, Pauline Kea, Philip Lumwamu, Florence Mutekwa
Exercises kit’s authors
Mutahi Miricho, David Maina, Pauline Kea, Philip Lumwamu, Florence Mutekwa
Publisher
Kenya Literature Bureau

Kiswahili Gredi ya 8

KLB TopScholar Kiswahili Gredi ya Nane (Kitabu chaMwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.Aidha, mwanafunzi wa Gredi ya Nane amekuziwa msingi madhubuti wa somo la fasihi katika kitabu hiki. Yafuatayo yamezingatiwa kwa kina: 
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia Mtaala wa Kiumilisi wa Gredi ya Nane kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala Nchini Kenya (KICD). 
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo wake wa kukabili mambo katika maisha kupitia kuwasiliana kwa ufasaha kwa lugha ya Kiswahili. 
• Msamiati unafunzwa kimuktadha kupitia vifungu vya kusoma, kusikiliza na kuandika katika kila mada. 
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili kumrahisishia ujifunzaji. 
• Masuala mtambuko yamejumuishwa ili kumkuza mwanafunzi mwenye umilisi, maadili na aliye na ujuzi wa kidijitali maishani. 
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa ujifunzaji unaojitokeza kupitia kwa sehemu kama vile: Changamkia inayolenga kumfanya mwanafunzi kutumia kwa njia yenye raha fulani ujuzi aliopata; Wazo Bainifu inayolenga kudokeza dhana kuu katika mada ndogo na Tafakuri iliyojumuishwa mwishoni mwa kila mada ili kumwelekeza mwanafunzi kujitathmini. Kitabu hiki kimeidhinishwa na KICD. Kimenunuliwa na kusambazwa nchini na serikali ya Kenya ili kutumika na wanafunzi katika Gredi ya Nane katika shule za umma.

1. Usafi wa sehemu za umma

Lead
Chapter
1.1. Kusikiliza na kujibu: Mahojiano
Free chapter!
1.2. Kusoma: Ufahamu wa kifungu cha simulizi
1.3. Kuandika: Viakifishi – Alama ya hisi(!) na ritifaa (’)
1.4. Sarufi: Viwakilishi

2. Matumizi yafaayo ya dawa

Lead
Chapter
2.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa kina – Sauti /g/ na /gh/
2.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana – Matini ya kujichagulia
2.3. Kuandika: Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
2.4. Sarufi: Viwakilishi

3. Dhiki zinazokumba wanyama

Lead
Chapter
3.1. Kusikiliza na kuzungumza: Hadithi – Mighani
3.2. Kusoma: Kusoma kwa kina – Tamthilia
3.3. Kuandika: Insha za kubuni – Masimulizi
3.4. Sarufi: Viwakilishi

4. Matumizi bora ya maliasili

Lead
Chapter
4.1. Kusikiliza na kuzungumza: Hadithi – Visasili
4.2. Kusoma: Kusoma kwa ufasaha
4.3. Kuandika: Insha za kubuni – Masimulizi
4.4. Sarufi: Nyakati na hali

5. Majukumu ya kijinsia

Lead
Chapter
5.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza – Maagizo
5.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu
5.3. Kuandika: Insha ya maelekezo
5.4. Sarufi: Nyakati na hali

6. Usalama nyumbani

Lead
Chapter
6.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa kufasiri
6.2. Kusoma: Kusoma kwa kina – Tamthilia
6.3. Kuandika: Insha za kubuni – Mdokezo
6.4. Sarufi: Vivumishi

7. Kuhudumia wenye mahitaji maalumu

Lead
Chapter
7.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa makini – Usikilizaji husishi
7.2. Kusoma: Ufupisho
7.3. Kuandika: Insha za kubuni – Maelezo
7.4. Sarufi: Vivumishi

8. Uhalifu wa mtandaoni

Lead
Chapter
8.1. Kusikiliza na kuzungumza: Aina za uzungumzaji
8.2. Kusoma: Kusoma kwa kina – Tamthilia
8.3. Kuandika: Viakifishi
8.4. Sarufi: Ngeli na upatanisho wa kisarufi

9. Majukumu ya mnunuzi

Lead
Chapter
9.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa kina – Sauti /k/ na /gh/
9.2. Kusoma: Ufahamu wa kifungu cha ushawishi
9.3. Kuandika: Insha za kubuni – Masimulizi
9.4. Sarufi: Ngeli na upatanisho wa kisarufi

10. Kukabiliana na hisia

Lead
Chapter
10.1. Kusikiliza na kuzungumza: Hadithi
10.2. Kusoma: Kusoma kwa kina – Tamthilia
10.3. Kuandika: Barua ya kuomba msaada
10.4. Sarufi: Vinyume vya vitenzi na vielezi

11. Haki za watoto

Lead
Chapter
11.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kuzungumza kwa kutumia vidokezo
11.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana – Matini za kujichagulia
11.3. Kuandika: Insha za kubuni – Maelezo
11.4. Sarufi: Mnyambuliko wa vitenzi

12. Magonjwa yasiyoambukizwa

Lead
Chapter
12.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa makini
12.2. Kusoma: Kusoma kwa ufasaha
12.3. Kuandika: Insha ya kiuamilifu – Hotuba
12.4. Sarufi: Aina za sentensi

13. Heshima kwa tamaduni za wengine

Lead
Chapter
13.1. Kusikiliza na kuzungumza: Wahusika katika hadithi
13.2. Kusoma: Kusoma kwa kina – Tamthilia
13.3. Kuandika - Insha za Kubuni
13.4. Sarufi: Ukanushaji kwa kuzingatia hali

14. Kuweka akiba

Lead
Chapter
14.1. Kusikiliza na kuzungumza: Hadithi – Matumizi ya lugha
14.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu – Kifungu cha mjadala
14.3. Kuandika: Insha ya maelekezo
14.4. Sarufi: Udogo wa nomino

15. Maadili ya kijamii

Lead
Chapter
15.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza husishi
15.2. Kusoma: Ufupisho
15.3. Kuandika: Baruapepe ya kiofisi
15.4. Sarufi: Usemi halisi na usemi wa taarifa