Kiswahili Gredi ya 7

Authors
Mutahi Miricho, Philip Visendi, Pauline Kea, Florence Mutekwa, David Maina Kamau
Publisher
Kenya Literature Bureau

KLB TopsScholar Kiswahili Gredi ya 7 (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Aidha, mwanafunzi wa Gredi yo Saba amekuziwa msingi madhubuti wa somo la Fasihi katika kitabu hiki. 

• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia Mtaala wa Kiumilisi wa Gredi ya Saba kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala Nchini Kenya (KICD). 
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya iii kukuza uwezo wake wa kukabili mambo katika maisha kupitia kuwasiliana kwa ufasaha kwa lugha ya Kiswahili. 
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili kumrahisishia ujifunzaji. 
• Masuala mtambuko na ya kiteknolojia yamejumuishwa kitabuni iii kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani na teknolojia. 
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa ujifunzaji unaojitokeza kupitia kwa sehemu kama vile: Changamka inayolenga kumfanya mwanafunzi kutumia kwa njia yenye raha fulani ujuzi aliopata; Shabashi inayolenga kudokeza dhana kuu katika mada ndogo; Tafakuri iliyojumuishwa mwishoni mwa kila mada iii kumwelekeza mwanafunzi kujitathmini.

1. Usafi wa Kibinafsi

Lead
Chapter
1.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza na kujibu
Free chapter!
1.2. Kusoma: Ufahamu wa kifungu cha simulizi
1.3. Kuandika: Viakifishi
1.4. Sarufi: Aina za nomino I

2. Lishe Bora

Lead
Chapter
2.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa kina
2.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana
2.3. Kuandika: Barua ya kirafiki ya kutoa mwaliko
2.4. Sarufi: Aina za nomino II

3. Uhuru wa Wanyama

Lead
Chapter
3.1. Kusikiliza na kuzungumza: Tanzu za Fasihi
3.2. Kusoma: Kusoma kwa kina - Novela
3.3. Kuandika: Insha za kubuni
3.4. Sarufi: Aina za nomino III

4. Aina za Maliasili

Lead
Chapter
4.1. Kusikiliza na kuzungumza: Nyimbo za watoto na bembelezi
4.2. Kusoma: Kusoma kwa ufasaha
4.3. Kuandika: Insha za kubuni — Masimulizi
4.4. Sarufi: Nyakati

5. Unyanyasaji wa Kijinsia

Lead
Chapter
5.1. Kusikiliza na kuzungumza: Mazungumzo mahususi
5.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu
5.3. Kuandika: Insha ya maelekezo
5.4. Sarufi: Nyakati na hali

6. Usalama Shuleni

Lead
Chapter
6.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa kufasiri — Matini
6.2. Kusoma: Kusoma kwa kina — Maudhui na dhamira
6.3. Kuandika: Insha ya masimulizi kutokana na picha
6.4. Sarufi: Aina za vitenzi

7. Kuhudumia Jamii Shuleni

Lead
Chapter
7.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa ufahamu
7.2. Kusoma: Ufupisho
7.3. Kuandika: Insha ya kubuni — Maelezo
7.4. Sarufi: Aina za vitenzi — Vitenzi vishirikishi

8. Ulanguzi wa Binadamu

Lead
Chapter
8.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kuzungumza ili kupasha habari
8.2. Kusoma: Kusoma kwa kina
8.3. Kuandika: Viakifishi — Kiulizi na koma
8.4. Sarufi: Ngeli na upatanisho wa kisarufi

9. Matumizi ya Vifaa vya Kidijitali Katika Mawasiliano

Lead
Chapter
9.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Kusikiliza kwa kina
9.2. Kusoma: Ufahamu wa kifungu cha kushawishi
9.3. Kuandika: Insha za kubuni — Masimulizi
9.4. Sarufi: Ngeli na upatanisho wa kisarufi

10. Kujithamini

Lead
Chapter
10.1. Kusikiliza Na Kuzungumza: Nyimbo za Kazi na Dini
10.2. Kusoma: Kusoma kwa kina — Wahusika
10.3. Kuandika: Barua ya kuomba msamaha
10.4. Sarufi: Vinyume vya maneno

11. Majukumu ya Watoto

Lead
Chapter
11.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kuzungumza kwa kuambatanisha na vitendo au ishara
11.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana
11.3. Kuandika: Insha za kubuni — Maelezo
11.4. Sarufi: Mnyambuliko wa vitenzi

12. Magonjwa Ambukizi

Lead
Chapter
12.1. Kusikiliza na kuzungumza: Kusikiliza kwa makini
12.2. Kusoma: Kusoma kwa ufasaha
12.3. Kuandika: Hotuba ya kupasha habari
12.4. Sarufi: Aina za sentensi

13. Utatuzi wa Mizozo

Lead
Chapter
13.1. Kusikiliza na kuzungumza: Wahusika katika nyimbo
13.2. Kusoma: Kusoma kwa kina — Mbinu za lugha
13.3. Kuandika: Insha za kubuni — Maelezo
13.4. Sarufi: Ukanushaji kwa kuzingatia nyakati

14. Matumizi ya Pesa

Lead
Chapter
14.1. Kusikiliza na kuzungumza: Lugha katika nyimbo
14.2. Kusoma: Ufahamu wa kifungu cha mjadala
14.3. Kuandika: Insha ya maelekezo
14.4. Sarufi: Ukubwa wa nomino

15. Maadili ya Mtu Binafsi

Lead
Chapter
15.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Kusikiliza habari na kujibu
15.2. Kusoma: Ufupisho
15.3. Kuandika: Kuandika kidijitali — Baruapepe
15.4. Sarufi: Usemi halisi na usemi wa taarifa